Tunatunza ladha halisi ya chakula cha Kitanzania kwa kukuchagulia nafaka bora kutoka mashambani.
- Mchele: Mchele wa kunukia wenye daraja la kwanza, hauna mawe wala uchafu.
- Maharage: Maharage safi yasiyo na wadudu na yanayoiva haraka.
- Karanga: Karanga kavu na tamu kwa ajili ya afya yako.
Vipimo vya Ufungashaji (Kilo): Kg 1 | Kg 5 | Kg 10 | Kg 25 | Kg 50
(Tunaleta popote ulipo kwa oda za jumla na rejareja).
